This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wananchi Leo Maeneo Mbalimbali Nchini Walivyo Jitokeza Kufuatilia Ripoti Ya Mchanga Wa Madini

 Kufuati ripoti ya pili ya mchanga wa madini ambayo ilikuwa inawasilishwa leo kwa raisi Ikulu jiji Dar es Salaam kuanzia mida ya saa tatu asubuhi, wananchi sehemu mbalimbali nchini walijitokeza kufuatilia tukio hilo kupitia runinga (Television, Tv).
 Kupitia ripoti hiyo ya pili iliyowasilishwa rais Dr. Magufuli , Rais Dr. John Magufuli amesema kuwa "Serikali idai fedha kwenye kampuni ya Acacia ambayo imekua ikiliibia taifa, Nasema hakuna mchanga kutoka nje. Naomba sheria ya Gesi ipitiwe upya ili tuwe na sheria nzuri, wanasheria wako kibao lakini mikataba ndo hii, wamesoma nini?".
 "Wahusika wote waliotajwa kwenye ripoti hii vyombo vya dola viwahoji na kubaini ukweli juu ya jambo hili" amesema rais Dr. Magufuli leo.