Ili nyumba iweze kupendeza ni lazima ujue kupangilia vitu vyako ndani kama kwenye picha hapo juu na chini.Watu wengi huwa wanashindwa jinsi ya kupangilia vitu katika nyumba mfano kuweka pazia au sofa ambazo zinaendana na kuta za nyumba. Ili nyumba iweze kupendeza ni lazima kuta za nyumba ziendane na pazia au sofa.