Wasanii wa muziki kutoka nchini Uganda wanojulika kama "Triplets Ghetto Kids" wamekutana na wasanii wakubwa kutoka nchini Marekani ambao waliudhuria show yako walioifanya na French Montana wimbo "Unforgettablle". Wasanii hao wa Marekani ni ambao walikutana nao na kupiga picha ni DJ Khaled, Fat Joe na rapper Chance.
Ghetto Kids ambao wameweza kuitangaza Afrika baada ya Performance ya BET (Blank Entertainment) ya June mwaka 2017 huko Marekani .Watoto hao wamewafurahisha na kuwavutia sana wamerekani na kuacha historia kubwa nchini humo. KUTAZAMA VIDEO YAO BOFYA HAPA...