This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Picha Kali Alizopiga Rihanna Wiki Hii

 Huu ndiyo muonekano mpya wa Rihanna ndani ya wiki hii, Watu wengi wamezoea kumuona Rihanna akiwa amevaa mitindo fulani hivi, lakini wiki hii ameamua kuja tofauti kidogo kama tulivyo mzoea, Hizi ndizo picha alizopiga wiki hii.CLICK HERE



Video: Barnaba Ameamua Kuja Na Haya - TUNAFANANA

               
Msanii wa muziki mkongwe hapa nchini Barnaba anaendelea kutamba katika katika tasnia yake ya musiki kwa kuachia wimbo wake mpya unao kwenda kwa jina "TUNAFANANA" ambao ameachia wimbo huo jana. Video hiyo imeongozwa na director kutoka "KWETU STUDIO" anayeitwa "Travellah".
                 




Jerry Moro Aachiwa Huru Leo Baada Ya Kumaliza Kifungo Chake

Msemaji wa Yanga Jerry Muro leo amemaliza kifungo chake cha mwaka mmoja kwa kutojihusisha na masuala ya soka, anatoka na kuwaacha waliomuhukumu wapo gerezani. Mnamo tarehe 2/07/2016 msemaji wa timu ya Yanga Jerry Muro alifungiwa na TFF kutojihusisha na masuala ya soka kwa mwaka mmoja na kulipa faini ya shiling milion 3.Jerry Mjuro alifungiwa kutokana na kutumia lugha za uchochezi katika matangazo ya televisheni kabla ya mechi kati ya Yanga na TP Mazembe.

Picha Kali Nne (4) Alizopiga Zari (Zari the Boss lady) Zinazo Zungumziwa Zaidi Kwenye Mitandao Leo Ya Kijamii.

 Hizi ndizo picha kali tano za leo alizopiga Zari ambazo zimekuwa zikienea kwenye mitandao ya kijamii alizopiga akiwa na mwenza. Zari Hassan, maarufu kama (Zari the boss lady) ni mke wa Diamond,Zari ni mwanamke anayejishughulisha na muziki, mwanamitindo na ujasiliamali ambapo shughuli zake anazifanyia Afrika ya Kusini.Kupitia ukurasa wake wa Instagram leo Zari ametupia picha tano alizo piga akiwa na mume wake ambaye ni Diamond Platnumz,picha hizo ambazo zikiwa na tafsili ya upendo uliyoshamili kati yao hao wawili.