This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Video: Barnaba Ameamua Kuja Na Haya - TUNAFANANA

               
Msanii wa muziki mkongwe hapa nchini Barnaba anaendelea kutamba katika katika tasnia yake ya musiki kwa kuachia wimbo wake mpya unao kwenda kwa jina "TUNAFANANA" ambao ameachia wimbo huo jana. Video hiyo imeongozwa na director kutoka "KWETU STUDIO" anayeitwa "Travellah".
                 




Jerry Moro Aachiwa Huru Leo Baada Ya Kumaliza Kifungo Chake

Msemaji wa Yanga Jerry Muro leo amemaliza kifungo chake cha mwaka mmoja kwa kutojihusisha na masuala ya soka, anatoka na kuwaacha waliomuhukumu wapo gerezani. Mnamo tarehe 2/07/2016 msemaji wa timu ya Yanga Jerry Muro alifungiwa na TFF kutojihusisha na masuala ya soka kwa mwaka mmoja na kulipa faini ya shiling milion 3.Jerry Mjuro alifungiwa kutokana na kutumia lugha za uchochezi katika matangazo ya televisheni kabla ya mechi kati ya Yanga na TP Mazembe.

Picha Kali Nne (4) Alizopiga Zari (Zari the Boss lady) Zinazo Zungumziwa Zaidi Kwenye Mitandao Leo Ya Kijamii.

 Hizi ndizo picha kali tano za leo alizopiga Zari ambazo zimekuwa zikienea kwenye mitandao ya kijamii alizopiga akiwa na mwenza. Zari Hassan, maarufu kama (Zari the boss lady) ni mke wa Diamond,Zari ni mwanamke anayejishughulisha na muziki, mwanamitindo na ujasiliamali ambapo shughuli zake anazifanyia Afrika ya Kusini.Kupitia ukurasa wake wa Instagram leo Zari ametupia picha tano alizo piga akiwa na mume wake ambaye ni Diamond Platnumz,picha hizo ambazo zikiwa na tafsili ya upendo uliyoshamili kati yao hao wawili.


Triplets Ghetto Kids Wapata Shavu Kutoka Kwa Wasanii Wa Marekani, Kwenye BET Awards 2017

Wasanii wa muziki kutoka nchini Uganda wanojulika kama "Triplets Ghetto Kids" wamekutana na wasanii wakubwa kutoka nchini Marekani ambao waliudhuria show yako walioifanya na French Montana wimbo "Unforgettablle". Wasanii hao wa Marekani ni  ambao walikutana nao na kupiga picha ni DJ Khaled, Fat Joe na rapper Chance
Ghetto Kids ambao wameweza kuitangaza Afrika baada ya  Performance ya BET (Blank Entertainment) ya June mwaka 2017 huko Marekani .Watoto hao wamewafurahisha na kuwavutia sana wamerekani na kuacha historia kubwa nchini humo.  KUTAZAMA VIDEO YAO BOFYA HAPA...

Diamond Azindua Bidhaa Zake Mpya Leo, Hizi Hapa

Mkali wa muziki wa R&B nchini Tanzania Diamond, leo amezindua rasmi bidhaa yake mpya ukiachana na ile ya kwanza ya "perfume", leo amekuja na nyingine inayoitwa "Diamond Karanga" .Diamond amesema " Bidhaa hiyo itakuwa inapatikana nchi nzima na Afrika mashariki kwa ujumla, kwa bei nafuu kabisa kwa shiling miatatu tu "300/=" bei ya rejereja kwa pakiti moja na shilingi elfu 20,000 /= kwa boksi moja lenye pakiti mia moja (100) ndani ambayo ukiuza unapata faida ya elfu kumi".

Wananchi Leo Maeneo Mbalimbali Nchini Walivyo Jitokeza Kufuatilia Ripoti Ya Mchanga Wa Madini

 Kufuati ripoti ya pili ya mchanga wa madini ambayo ilikuwa inawasilishwa leo kwa raisi Ikulu jiji Dar es Salaam kuanzia mida ya saa tatu asubuhi, wananchi sehemu mbalimbali nchini walijitokeza kufuatilia tukio hilo kupitia runinga (Television, Tv).
 Kupitia ripoti hiyo ya pili iliyowasilishwa rais Dr. Magufuli , Rais Dr. John Magufuli amesema kuwa "Serikali idai fedha kwenye kampuni ya Acacia ambayo imekua ikiliibia taifa, Nasema hakuna mchanga kutoka nje. Naomba sheria ya Gesi ipitiwe upya ili tuwe na sheria nzuri, wanasheria wako kibao lakini mikataba ndo hii, wamesoma nini?".
 "Wahusika wote waliotajwa kwenye ripoti hii vyombo vya dola viwahoji na kubaini ukweli juu ya jambo hili" amesema rais Dr. Magufuli leo.

Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Ufundi 2017, Haya hapa

Haya ndiyo majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujinga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi.